Wednesday, October 26, 2011

BI KIDUDE BADO YUPO YUPO

Jana kwenye mtandao wa Facebook ulitokea uvumi kwamba Bi Kidude amefariki na leo habari hizi zimeweza kukanushwa na I-view Media kwa kutuwekea picha hii katika mtando huo huo.

Hivi inakuwaje mtu anazushiwa kifo?

WE LOVE U BI KIDUDE MUNGU AZIDI KUKUBARIKI

No comments: